Skip to main content

AY AVUTA JIKO LA KINYARWANDA

             Msanii AY, amefunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu ambaye ni raia wa Rwanda, ndoa hiyo ilifungwa  nchini Rwanda huku akisindikizwa na msanii mwenzake ambaye pia ni rafiki yake wa mda mrefu 'Mwana FA'

Comments