Raisi Jacob Zuma wa Afrika Kusini amekubali kujiuzulu, ni baada ya wito uliotolewa na chama chake cha ANC kumtaka ajiuzulu ndani ya masaa 48.
Raisi huyo amekubali kufanya hivo ingawa kwa sharti la kuwa atajiuzulu baada ya miezi 3 au 6 kuanzia sasa. Bado uongozi wa ANC haujatoa tamko kama umekubaliana na swala hilo.
Raisi Jacob Zuma alishindwa uongozi wa Chama tawala cha (ANC )Disemba mwaka jana, lakini pia amekua akikabiliwa na tuhuma mbalimbali za rushwa.
Blog hii imelenga kukuhabarisha na kukufahamisha yale yanajiri kila kona ya dunia, na pia kukuburudisha. Hivyo basi hakikisha huachi kutembelea na kuperuzi katika blog hii mara kwa mara. Pia mnakaribishwa kutangaza nasi ili kuifanya blog iwe 'active'ili kuendelea kukuhabarisha bila tatizo, Karibuni.....kwa tangazo wasiliana kwa simu namba 0682 518456
Comments
Post a Comment