Skip to main content

KUTOKA BUNGENI

             Serikali  imesema, uhakiki wa  madai  ya  watumishi  wa  umma  umekamilika  hivyo  kiasi  cha  shilingi  Billioni  43.39  kitalipwa.
              Serikali  imesema  kwamba  kiasi  hicho  kitalipwa kwa awamu  pamoja  na mshahara  wa  walimu  wa mwezi  Februari  mwaka  huu, malipo  hayo  yatajumuisha  madai ya  walimu  elfu  kumi  na tano mia  tisa kumi  na tisa(15,919).
                Majina ya  walipwaji  yatatangazwa  kuanzia  Februari 10, 2018

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

JIFUNZE KUPIKA KEKI KWA JIKO LA MKAA

             Hakuna kitu chochote kitamu chenye harufu na radha nzuri kama keki uliyoipika kwa mikono yako. Upishi wa keki ni mwepesi sana endapo mpishi atazingatia vitu muhimu vinavyohitajika pamoja na hatua zake. MAHITAJI *unga vikombe2 *maziwa kikombe1 *sukari kikombe1 *siagi kikombe1 *baking powder vijiko vidogo 2 *mayai 6 yakienyeji *vanilla matone mawili au limao 1 Zingatia Limao au vanilla hutumika kwaajili ya kupunguza harufu ya mayai kwenye keki.kwahiyo ukikosa vanilla pia waweza kutumia maganda ya limao. Pia andaa jiko lako la mkaa mapema ili lipate joto pamoja na sufuria iliyopakwa siagi ndani ili kuzuia keki kuganda. HATUA *Andaa bakuli lako la udongo na mwiko ambao utatumia kuchanganya mchanganyiko wako *chukua kikombe kimoja cha siagi na utie katika bakuli pamoja na kikombe kimoja cha sukari. *koroga mchanganyiko wa sukari na siagi mpaka pale utakapolainika na chembe chembe za sukari kupotea kabisa *W...

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

Vichwa  vikubwa  vya magazeti ya  leo  jumapili

AY AVUTA JIKO LA KINYARWANDA

             Msanii AY, amefunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu ambaye ni raia wa Rwanda, ndoa hiyo ilifungwa  nchini Rwanda huku akisindikizwa na msanii mwenzake ambaye pia ni rafiki yake wa mda mrefu 'Mwana FA'